Friday 5 August 2022

MVUTO WA KIBATALI

         MVUTO WA KIBATALI
     Kibatali  ni hatari sana kwenye mambo ya kuvuta mvuto. Inaingia katika mambo mengi sana kwenye mapenzi biashara kitu kilichopotea na vinginevyo vingi.
      Sasa leo nitaelezea mambo ya mapenzi na biashara twende sawa kama wewe umeangaika sana kumrudisha mke au mume umeangaika sana kumtuliza mweza wako lakini wapi sasa tafuta
kibatali na Utambi wake kama utakuwa umemchota mwenza wako mchanga wa unyayo wake, una nyuzi za nguo na kucha nywele utawek katika iko kibatali kama utakuwa hauna hivyo vitu andika
majina yake katik karatasi vitu unavyotaka ukimaliza fushia udi wako tia humo katika kibatali.
       Weka na dawa inaitwa Mvuto Mlipu Mchekea Itinginya Itetema Mwamba Ngoma.
Kananamba Makusanya Mpendwa Pendwa.
Mlangamia na Mliliwa weka mafuta ya taa yakutosha kila siku utawasha Asubuhi kwa manuizi yako unayo yataka kisha acha kibatali kikiwaka mpaka kizime nakupa tu dondoo utasema👇👇
       "Fulani bin fulan kama moyo wako ulizima juu yangu mimi sasa leo nauwasha uniwaze mimi
nakulipua nakuita
mawazo yako fikira zako uniwaze mimi fulani bin fulani nakuvuta kwa nguvu ya Upepo, Udongo Moto, Maji akili yako yote hisisikie la kuambiwa na mtu yoyote yule".

     Mafuta yakiisha jioni utatia utawasha tena fanya hivyo siku saba atakuja mbio mbio uyo utamuonea huruma.


       KWENYE  BIASHARA  

  fagia hapo eneo lako la biashara upate mchanga wa hapo na mchanga wa njia zinazo ingia hapo katika biashara yako weka katika kibatali utachanganya na dawa hizi Mkulingu

Italigula Pangamanati Mkubwa Singelo
Mweunge Chababila utaweka mafuta yako ya taa na upukuchulie udi rose tumia kuwasha kwa manuizi ya Kuvuta wateja Wallah huto lala njaa hata mara moja.

WhatsApp
https://chat.whatsapp.com/E0YucVBI9X41qbIDBzux3f