Saturday, 20 October 2018

IJUE NYOTA YAKO

IJUE NYOTAYAKO

NYOTA

JINSI YA KUFAHAMU NYOTA YAKO CHUKUA JINA LA BABA YAKO CHUKUA JINA LAKO  NA LA MAMA GAWANYA  KWA KUMI NA MBILI.

1.           IKIBAKI MOJA NI PUNDA.

2.           IKIBAKI MBILI NI NG,OMBE.

3.           IKIBAKI TATU NI MAPACHA.

4.           IKIBAKI NNE NI KAA.

5.           IKIBAKI TANO NI SIMBA.

6.           IKIBAKI SITA NI MASHUKE .

7.           IKIBAKI SABA NI MIZANI .

8.           IKIBAKI NANE NI NGE.

9.           IKIBAKI TISA NI MSHALE.

10.      IKIBAKI KUMI NI MBUZI.

11.      IKIBAKI KUMI NA  MOJA NI NDOO.

12.      IKIBAKI KUMI NA MBILI NI SAMAKI.

NA PIA KUNA NYOTA ZA AINA NNE AMBAZO NDIZO NYOTA ZA ASILI NA UKITAKA KUZIJUA NYOTA HIZO UNACHUKUA JINA LAKO LA BABA NA LA MAMA UNAGAWANYA KWA NNE

1.           IKIBAKI MOJA NI  MOTO .

2.           IKIBAKI MBILI NI UDONGO.

3.           IKIBAKI TATU NI UPEPO.

4.           IKIBAKI NNE NI MAJI.

NYOTA HIZI NDIZONYOTA ZA ASILI AMBAZO INATAKIWA TUZIFAHAMU MFANO MTU MWENYE NYOTA YA MOTO HATAKIWI KUFANYA KAZI ZA MTU MWENYE NYOTA YA MAJI MAANA NYOTA YAKE ITAZIMIKA.

MWENYE NYOTA YA MOTO KAZI ZAKE NI UDREVA,UASKARI,UMACHINGA,HOTELI,, BIASHARA, ZINAZOHUSIKANA NA KUSAFIRI SAFIRI AU SALUNI MAANA SALUNI MOTO UNATUMIA UMEME ,FUNDI WELDING,NA KAZI ZINAZOHUSU UPEPO MAANA MOTO NA UPEPO ZIKO PAMOJA.

NA PIA NYOTA YA MAJI NA UDONGO ZINAFANYA KAZI MOJA.KAZI ZAO NI UVUVI,KULIMA ,UFUGAJI,KUCHIMBA MADINI, FUNDI WASH,FUNDI UJENZI.N.K.

MTU MWENYE NYOTA YA MOTO INATAKIWA AOLEWE NA MTU MWENYE NYOTA YA UPEPO.

NA MTU MWENYE NYOTA YA MAJI INATAKIWA AOANE NA NA MTU MWENYE NYOTA YA UDONGO.

WATU WENGI NDOA ZAO HUHARIBIKA MAANA HAWAFATI MAMBO HAYA .KUJUA  NYOTA NI MUHIMU SANA NA HATA KIBIASHARA INATAKIWA TUJUE NI HERUFI GANI ZA KUANDIKA KATIKA BIASHARA AU KATIKA MADUKA YETU.

`

PIA KUNA KUZIJUA NYOTA KWA KUTUMIA HERUFI MFANO MWENYE HERUFI INAYOANZA NA   A,=PUNDA. B=NG,OMBE.   C=MAPACHA.    D= KAA.   E= SIMBA.     F=MASHUKE.   G=MIZANI .  H=NGE.      I=MSHALE.   J==MBUZI.  K= NDOO.  L=SAMAKI.  M=PUNDA. N=NG,OMBE.  O=MAPACHA. P=KAA.   Q=SIMBA.  R=MASHUKE.   S=MIZANI.     T=NGE.  U=SAMAKI.   V=MBUZI.    W=NDOO.  X=SAMAKI.    Y=PUNDA.   Z=NG,OMBE..NA HIZO NI KUZIJUA NYOTA KWA KUTUMIA HERUFI YA MWANZO WA JINA LAKO.

PIA KUNA KUZIJUA NYOTA KWA KUZALIWA  KUTOKANA NA MWEZI ULIOZALIWA MFANO.

TAREHE 19   MWEZI  WA   1   HADI  TAREHE   20  MWEZI    WA    2  NI  NDOO.

TAREHE 21   MWEZI  WA   2   HADI  TAREHE   20  MWEZI    WA      3  N I  SAMAKI.

TAREHE 21   MWEZI   WA    3   HADI  TAREHE   20  MWEZI   WA     4   NI   PUNDA.

TAREHE 21   MWEZI  WA   4    HADI   TAREHE   20    MWEZI  WA     5     NI NG,OMBE.

TAREHE 21 MWEZI  WA    5       HADI   TAREHE  20   MWEZ I WA     6    NI MAPACHA.

TAREHE 21 MWEZI WA    6        HADI  TAREHE   20     MWEZI  WA    7    NI KAA.

TAREHE 21 MWEZI WA    7       HADI   TAREHE    21       MWEZI  WA  8     NI  SIMBA.

TAREHE 22 MWEZI WA   8       HADI   TAREHE     22 MWEZI      WA      9        NI  MASHUKE.

TAREHE 23  MWEZI WA 9      HADI     TAREHE       22 MWEZI    WA     10    NI  MIZANI.

TAREHE 23 MWEZI WA 10     HADI     TAREHE    21 MWEZI     WA       11    NI     NGE.

TAREHE 22 MWEZI WA 11 HADI TAREHE 21 MWEZI   WA  12  NI   MSHALE.

TAREHE 21 MWEZI WA 12 HADI TAREHE 18 MWEZI WA  KWANZA  NI MBUZI.

HIZO NDIZO  NYOTA KWA NJIA YA TAREHE .

PIA NYOTA HIZI ZIKO KATIKA MAGURUDUMU KAMA NILIYOYATAJA HAPO NYUMA MFANO.

1.           NDOO=     MOTO

2.           PUNDA = MOTO.

3.           NG,OMBE =UDONGO

4.           MAPACHA = UPEPO.

5.           KAA=MAJI.

6.           SIMBA=MOTO.

7.           MASHUKE= UDONGO.

8.           MIZANI =UPEPO.

9.           NGE=MOTO.

10.      MSHALE=MOTO.

11.      MBUZI =UDONGO.

12.      SAMAKI = MAJI.
Kwa mawasiliano +255 745 59 50 89

Wednesday, 22 August 2018

NUKSI NI NINI


#-NUKSI-Ni neno la kiarabu ambalo lina maana ya machafuko ,maangamiko,maharibiko. Ambalo kwa kiswahili tuna liita neno hili ni mkosi ambayo ndio maana halisi na sambamba ya msamiati huo.

#NUKSI- ni hali inayo mkumba mtu na kumfanya kuwa na dhiki na ugumu katika kuyaendeka mambo yake na kupata kile anacho kihitaji kwa nafasi yake.

#Tunapo zungu mzia nuksi tuna zungumzia ujumla wa muambatano na visababisha vya ukwamaji wa mambo kwa watu mbali mbali.


#Nuksi kwa ujumla wake zimegawanyika katika aina nyingi ambazo kila moja na sababu zake ambazo hupelekea mtu kuingia katika matatizo kwa uzito wa nuksi yake.
    
   VISABABISHI VYA NUKSI/MKOSI.

A)-#Kukumbwa na kafara za watu manjiani.

B)-#Nuksi ya kuambukizwa na mke/mume.

C)-#Nuksi ya kuletwa na majini.


D)-#Nuksi ya masononeko ya wazazi.

E)-#Nuksi ya kufungwa na asili ya ukoo wa mtu.

F)-#Nuksi ya laana za wazazi/kiapo.

G)-#Nuksi ya kufanyiwa uchawi.

Vyote hivi ni baadhi ya miongoni mwa vitu ambavyo huweza kusabaisha nuksi/mkosi kwa binaadamu.

#Watu wengi wamekuwa wakisumbuka na Mikosi/nuksi pasi na kujua pia ni Nuksi gani inayo wasumbua.

Hapa leo tunazunhumzia aina  moja ya nuksi/mkosi.

1-#Nuksi ya kuikumba -hii ni nuksi ambayo mtu anaikumba yaani hakukusudiwa kufanyiwa kitu kibaya na wachawi wala adui wake.

Hii hutokea pale mtu anapo pita sehemu ambayo kuna watu walifanya kafara ya kutoa nuksi ama kujifungua kutokana na matatizo aliyo nayo.

Endapo mtu atakatiza katika eneo hilo akiwa ni wa mwanzo ni tangu kafara hiyo kufanyika basi mtu huyo ana weza kuipata niksi hiyo.

Nuksi hiyo ambayo huanza kujitokeza matokeza kwake kuanzia siku moja kwa ukamilifu wake ama siku ya nane yake tangu kumkumba nuksi hiyo.

#Mtu huyo anaweza pia kuanza na kupata homa kama kafara hiyo ilikuwa kubwa na hato pata homa endapo kafara hiyo haiku chinjiwa mnyama wala hakikuchomwa kitu miongoni mwaka vitu vya kafara hiyo.

DALILI ZA MTU MWENYE NUKSI/MKOSI.

1-#kuchukiwa kwa sababu za kawaida zisizo na maana.

2-#kukwama mambo yote ghafla.

3-#kushindwa kujisaidia mwenyewe.

4-#kujihisi una mapungufu wewe Mwenyewe na kujiona kama una kasoro.

5-#kuachwa na mpenzi ghafla.

6-#kusimamishwa kazi pasi na sababu ilio nyooka.

7-#kufa kwa mawasiliano na watu wako wa karibu.

8-#watu kuku sahau kwenye mahala pa kufanya kipato.

9-#kukosa msaada kwa mwenye uwezo wa kukusaidia.

Kwa Tiba na ushauri
+255 745 59 50 89
Website : sales@drmambikhi.com
E mail: mambikhitibaasilia@gmail.com

Monday, 20 August 2018

DAWA YA KUSAFISHA NYOTA YAKO NA MVUTO

 

Dawa ya kusafisha

Habari za leo

Chukua mjafari wa unga

Hina ya unga

Magadi ya kupikia mlenda

Machicha ya Nazi yasiyokamuliwa(kuna Nazi kisha changanya na Dawa hizo)

Kisha kamulia ndimu mpaka uone Dawa yako imekuwa uji uji au unaweza usitumie ndimu chukua marashi rose korogea mpaka uone Dawa imekuwa ujiuji

Dawa hii inatumika usku tu

Chukua kitambaa cheupe

Kitandike chini ilihali upo uchi

Chukua Dawa yako jisugue na ile Dawa kama unajiscrub jisugue mwili mzima uchafu ule uangukie pale kwenye kitambaa

Ukimaliza uchafu ukusanye vizuri kisha chukua unga wa sembe changanya na ule uchafu kawatupie kuku wale(lengo LA kuku kula ni Ili usije kuokotwa maana ukiokotwa uchafu huo unaweza kutumika vibaya na wewe ukaugua sana au kufa kabisa

Utafanya zoezi hili kwa muda wa wiki nzima utaona ajabu utakumbukwa na walokusahau utathaminiwa utaonekana utavutia na utapendwa(kama unajini mchafu itakuwa kinyume chake)

Mjafari unapatikana maduka ya Dawa za asili ni mchungu una rangi kama njano iliyokolea kuelekea kahawia

Nazi inapatikana magengeni au sokoni

Unga sembe madukani

Kitambaa kwa fundi cherehani

Kuku wapo mitaani

Magadi madukani

Imebidi niandike hivyo maana kuna mtu ataniuliza nazi ndo nini? Inapatikana wapi? Kuku wasipokula je?

Kuku wasipokula adui yako ataviokota na kwenda kuvifanyia kazi zingine.

wasiliana nami kwa tiba na ushauri

+255 745 59 50 89