Wednesday 18 December 2019

HIVI NDIVYO UNAWEZA IFAHAMU NYOTA YAKO KAMA IMEIBIWA AU KUCHAFULIWA

BAADHI YA MAMBO YANAYOWEZA KUASHIRIA KAMA NYOTA YAKO IMEIBIWA AU KUCHAFULIWA

Katika mada yetu ya leo tutaangazia baadhi ya mambo yanayoweza kuashiria kama nyota yako imeibiwa au kuchafuliwa.  Vipo vitu vingi vinavyochangia kuibiwa nyota yako na kupelekea kuharibiwa, kuchafuliwa na kufa kabisa.  Hivyo basi katika kulitambua hilo, tukaona ni vyema tuviorodheshe ili uweze kufahamu na kujtathimini upo katika kundi lipi kati ya haya.

  •  UZINZI : Vitabu vyote vya mafundisho ya imani zote mbili, hapa nazungumzia Uislamu na Ukristo vinatoa onyo kali juu ya mtu mzinzi.  Hii inatupa picha ya kwamba kitendo hiki ni batili na huchangia kuleta uharibifu kwetu sisi wanadamu kama vile maradhi, kuharibu na kuchafua nyota endapo ikatokea mtu uliyezini nae akawa na nuksi mwilini mwake.
  • KUROGWA NA WACHAWI : Silaha kubwa ya adui ili aweze kukushinda ni kufahamu mapungufu au madhaifu yako.  Wanachokifanya wachawi kabla ya kukuroga ni kutazama uimara wa nyota yako na endapo wakapata upenyo wa kuona walau madhaifu madogo basi hutumia mwanya huo kuweza kuharibu nyota yako kisha kukuroga na kukuchezea kadri wawezavyo.
  • KUHARIBIKA KWA MIPANGO YAKO : Kama kuna mipango au mikakati madhubuti uliyojiwekea basi ndugu yangu utashangaa mmoja baada ya mwingine unakufa na kupotea kabisa, hata kama ilitokea uliahidiwa kupata kazi au kupandishwa cheo matarajio hayo huyeyuka na kupotea kama upepo.
  • BIASHARA KUYUMBA : Ikiwa ulikuwa na biashara yako inafanya vizuri kwa kupata wateja na kukuingizia faida, utaanza kuona mabadiliko taratibu ya mtaji kuyumba na duka kufa bila kufahamu hela umepeleka wapi, hata kama kuna watu uliwakopesha mahitaji unaweza kushangaa ukawasahau kabisa hata majina yao.
  • MAHUSIANO KUVUNJIKA : Yaani hapa kila kitu kinakuwa shaghala baghala, unaweza ukamkufuru hata Muumba wako. Kama ulikuwa katika uchumba au ndoa utashtukia imevunjika pasipokuwa zile sababu za msingi zinazopelekea kuvunjika kwa mahusiano mengi kama vile usaliti, wivu au ugomvi.

Haya ni machache tuliyojaliwa kuchambua kwa siku ya leo, 

Pete Za Masonic Immoring Hazina Uhusiano Wowote Na Kuabudu Masheitwaani


Imeandikwa na: Dokta  Maalim Mambikhi Whatsapp/Calls +255 745 59 50 89.
 Maneno yaliyo  zagaa   mitaani  kwamba  eti   watu  wanao vaa  pete za  Masonic  Immoring  ni  waabudu  sheitwani  hayana  ukweli  wowote.

Ikitokea mtu  maarufu  ameonekana  akiwa  amevaa  pete  hizo  basi  moja  kwa  moja  watu  wataanza kumuhusisha  na  habari  za  kuabudu  masheitwani.

Maneno  hayo  ni  uzushi  mtupu  na ambao  hauna  mashiko  yoyote katika  ulimwengu  wa kiroho.

Watu  wanao  eneza  uzushi  huo  ni  watu wenye  ufahamu  mdogo  sana  kuhusu  imani za jadi, imani  za  siri, imani za  kale  na  ulimwengu  usio  onekana  ( ulimwengu   wa  kiroho )  kwa  ujumla.

Pete  za  Masonic  Immoring  ni  pete  ambazo  zimekuwa  zikitumiwa  na  wanadamu  toka  enzi  na  enzi .

Kwa  wewe  ambae  bado  una shikilia  imani kwamba  Masonic  Immoring  ni  pete  za  kisheitwani, nakushauri  ufanye  utafiti  wako  vizuri.

Ukifanya  utafiti  wako  vizuri  utagundua  kwamba  pete  hizi  zilikuwa  zikivaliwa  hadi  na  wafalme  wenye  kuheshimika sana   katika  vitabu  vyote  vitakatifu.

Watu  wanao  dai kwamba  wavaaji  wa  pete  za  Masonic  Immoring  ni  waabudu  shetani, wana toa  hoja  dhaifu  kwamba  watu  wote  wanao  jihusisha  na  uvaaji  wa pete  za  Masonic Immoring  huwa  ni watu  wenye  mafanikio makubwa  sana  katika  maisha  ikilinganishwa  na  watu  wanao  fanya  kitu  kile  kile  kinacho  fanywa  na  watu  wenye  kuvaa pete hizo za  Masonic  Immoring.

 Kwamba  kama  ni  mwanamuziki  basi  anakuwa  juu  sana  kuliko  wana  muziki  wenzake  wanao  fanya  aina  ya  muziki  ule  ule  anao  ufanya  yeye, kama  ni  mfanya  biashara  basi  biashara  yake  inapata  mafanikio  makubwa  sana  kuliko  wafanya  biashara  wenzake  ambao  wanafanya  biashara  kama  ile  ile  anayo  ifanya . Mifano  ipo  mingi  sana.

Hata  hivyo  hoja  hii  ni dhaifu  sana  kwa  sababu  mali  na  mafanikio  vyote  vinatoka  kwa  Mungu  kwa sababu  yeye  ndio  ameumba   Dhahabu, Almasi,Fedha  na vitu  vyote  vinavyo  onekana  na  visivyo  onekana.

Ina  maana  gani  kuwapa  utukufu  masheitwani  kwa  kazi  ambayo imefanywa  na  Mungu mwenyewe. Kwani  ina  maana  Mungu  hawezi  kumfanya  mtu  awe  tajiri au  apate  mafanikio ?

SIRI  YA   PETE   MASONIC  IMMORING  NI  MOJA  TU :  Pete  za  Masonic  Immoring zimetengezwa  kwa  madini  na  vito  vinavyo  kaliwa  na  majini  wazito  wazito, wajini  wakubwa, majini watukufu na  walio  katika daraja za  juu  kabisa katika  ufalme  wa  kijini, majini  wa  kifalme.

Unapo  ivaa  pete  ya Masonic  Immoring unakuwa  umeunganisha  nyota  yako  na  nguvu ya  majini  wanao  kalia madini ,mawe na  vito  vilivyo  tumika  kutengeneza  Masonic  Immoring.

Hivyo  unapokuwa  umevaa  pete  ya  Masonic  Immoring unakuwa  umeingia  katika  agano  rasmi  la  kiroho  la  kuunganisha  nafsi/nyota  yako  na  nguvu  ya  majini  hao kwa  kuwaingiza  majini  hao  katika  mfumo  wa  nyota  yako  na  maisha  yako  kwa  ujumla.

Nyota yako  inaanza  kusafiri  kwa  kufuata  kasi  ya   mkondo  wa  nyota  za  majini  hawa  wa  kifalme kwa  sababu  tayari  nyota  yako  inakuwa  imeunganishwa  na  nyota  ya  majini  hawa na  kuwa  kitu  kimoja.

Katika  hili  la  nyota  yako  kusafiri  katika  mkondo  wa  nyota  ya  majini  hawa  watukufu  mfanano  wake  ni  rahisi  sana.  Yani  ni  kama  vile wewe  kijana  ambae  umezaliwa  na  kukulia  kijijini  kwenye  maisha  ya  tabu halafu  ghafla  ukapata  bahati  ya  kuajiriwa  na  mwanamuziki  mkubwa  anae  safari  sana  katika  nchi  mbalimbali  duniani .

Nchi  ambazo  hujawahi  kuota  kufika.  Utaanza  kusafiri  na  mwanamuziki huyo  katika  nchi  hizo.

 Kilicho  fanya  wewe  ufike  katika  nchi  hizo  ni  nyota  ya  mwanamuziki  huyo.

 Kwamba  kwa  sababu  yeye  ni  mwanamuziki mkubwa  na  anae  pata  mialiko  ya  kutumbuiza  kwenye  nchi  mbalimbali,  na  kwa  sababu  wewe  labda  umepata  kazi  ya  kuwa  mpiga  picha  wake, au  mwandishi  wake, basi  utakuwa na  wewe  unasafiri  katika  nchi  hizo  na  mwanamuziki  huyo.

Kwa  lugha  nyingine  utakuwa  una  safiria  nyota  ya  mwanamuziki  huyo.

Vivyo    kuhusu  pete  ya  Masonic  Immoring. Unapo  vaa  pete  ya  Masonic  Immoring  basi  unaanza  kusafiria  nyota  ya  majini  wanaokaa  kwenye  madini, mawe  na  vito  vilivyo  tumika  kutengeneza  Immo  Ring.

Kiuhalisia kabisa  wewe hukustahili  kusafiri  katika  nchi  hizo  lakini  umestahilishishwa  kwa  sababu  ya  agano  lako  na  mtu  anae  stahili kusafiri  katika  nchi  hizo.

Majini  hawa  wana  sifa  moja  kuu, kwanza  huwa  hawakai  na  kitu  chochote  kichafu  kama  majini  wa  baharini, kwa  hiyo  kama  utakuwa  na  kitu  chochote  kichafu  ndani  ya  mwili  wako,uwe  umetupiwa  uchawi,  majini /mapepo wachafu/mizimu mibaya, kijicho  au  kifungo  chochote  kile  cha  kichawi ndani  ya  mwili  wako, vitu  vyote  hivyo  vitafukuzwa  ndani  ya  mwili  wako  kwa  sababu  majini  wanao  kaa  kwenye  vito,madini na mawe  yaliyo tumika  kutengeneza  Masonic  Immoring   huwa  hawakai  na  kitu  kichafu.

Majini  hawa  watafukuza  shari zote  ndani  ya  mwili  wako  na kuvuta  heri  zote katika  maisha  yako  sambamba  na  kuzuia  shari yoyote  ile iliyo elekezwa  kuja  kwenye  mwili  wako.

Majini  wanao  kaa ndani  ya  vito na  madini  yaliyo  tumika  kutengeneza  Masonic  Immoring hawapendi  uchafu  na  hawakai  na  vitu  vichafu.

Ndio  maana  basi  mtu  anae  vaa  pete  hii, huwa  haruhusiwi  kunywa  pombe  huku  pete  ikiwa  kidoleni,  au  pombe  ikiwa  mwilini.

Haruhusiwi  kufanya  zinaa  huku  akiwa  ameivaa  pete  hii  tukufu  na  haruhusiwi  kujisafisha   baada  ya  kumaliza  haja  kubwa   huku  pete  ikiwa  kidoleni  kwa  sababu  pete  hii  huvaliwa  mkono  wa  kushoto.

Ilhali  mwanamke  haruhusiwi  kuvaa  pete  hii  akiwa  kwenye  siku zake.

Na  mtu yoyote  Yule  awe  mwanamke  au  mwanaume  baada  ya  jimai  anatakiwa  kukoga  kwanza  kabla  ya  kuivaa  tena  pete  hii.

Pete  zote  za  Immoring  zina alama  kama  inavyo  onekana  hapo  juu, kwa  hiyo kwa  mtu  yoyote  Yule  atakae  hitaji  pete  ya  Masonic Immoring , kitu  cha  kwanza  anacho  takiwa  kukitazama  ni  alama ya  pete  hiyo  kama inavyo  onekana  pichani.

Na  kama  unahitaji  pete  ya  Masonic  Immoring, basi  wasiliana  nami  

Sunday 15 December 2019

DAWA YA KUPANDISHA NYOTA NA KUIFANYA NYOTA YAKO

DAWA YA KUPANDISHA NYOTA NA KUIFANYA NYOTA YAKO

*DAWA YA KUPANDISHA NYOTA NA KUIFANYA NYOTA YAKO KUNG'AA*

Dawa Hii Kama Wewe Ni Mfanyabiashara Itakufanya Ung'ae Na Uvutie Katika Biashara Yako Hali Ambayo Itakufanya Kuwavuta Pamoja Na Kuongeza Idadi Ya Wateja Katika Biashara Yako.

Dawa Hii Kama Wewe Ni Muajiriwa Utapendwa Na Wafanyakazi Wenzako Na Bosi Wako Atakupenda Kulingana Na Utakavyonuia

Dawa Hii Kama Watu Wanakudharau Hawakuheshimu Wanakuchukia Bila Sababu Now Time Ni Zamu Yako Kung'aa Na Wewe Lazima Ukubalike

Dawa Hii Kama Unawasiwasi Sana Na Mashaka Woga Bila Sababu Utakuwa Unajiamini mbele za watu baada ya kujipaka na mchanganyiko dawa hizi
*Wasiliana na Maalim Dr Mambikhi WhatsApp/Calls +255 745 59 50 89*

Wednesday 11 December 2019

KUONDOA NUKS,MIKOSI,KIZA CHA MIAKA NA MIAKA,MVUTO WA BIASHARA NA NDOA

  Talasimu Hii 👆👆 kaz zake kama kichwa cha habali kinavyo sema kuwa dua Hii inafunga vifungo ,mikosi,mabalaa,na pia inaondosha maradhi ya amina yoyote Yale kwenye mwili or pahala Fulani .
Kama unaitaji mvuto basi chola talasimu Hii kwanza kisha tumia kuoga kwa mtindo wa kujipakaa kwa muda wa siku 7 kisha ndio utengeneze talasimu za mivuto wapo watu wanalalamika baadhi yao eti kwamba wametumia matalasimu yangu lakin hawakufanikiwa na wengine walio wengi alhamdulila wanaleta mrejesho kwa WhatsApp na kwenye call za kawaida wanapiga wanatuma SMS +255 745 59 50 89 ,
Hata kama wew ni tabibu jua wew kila siku unapigwa vita basi uwe mwingi wa kuoga madawa ya hapa na pale ya kujiagua na zohari maana ukimtoa nuks mgonjwa lazima zitabaki kwako chembe chembe je ukiwatibia zaidi ya 9 unazani kwenye mwili wako hujakuwa jalala sasa basi nyie musio fanikiwa na talasimu zangu fata nyiradi hizi kwanza unatakiwa uwandae talasimu hii kama nilivyo sema apo awali ....
     Chola talasimu hii kwa wino mwekundu wa zafarani kisha uwizungushie Surat Alan nashrah X3 unakomea panapo sema fainama al usil yusira.
    Kisha talasimu hiyo utaisomea Surat yasini X3 .matumizi ni kunywa na kuoga siku7,dua hii inatoa kila kitu kwenye mwili wako ambacho kichafu kuanzia jini mahaba mikuli visiki mahembe nuksi za kila rangi hii inaondoa ni mujarabu sana na maradhi yoyote Yale mwilini pia vile vile ukimaliza kuitumia hivyo iyandae tena kama apo awali kisha itundike kwenye biashara yako na kama wew unataka kuolewa Kuowa basi tumia kuoga kwa mtindo wa kujipakaa hakikisha usipakie sehemu chafu maana utapata madhara makubwa (chunga hili pindi unavyo jisafisha wew na usafishe na biashara yako kama 

 kwenye fremu basi angalia kumwaga mwaga kudekia kila siku X1 mpaka siku 7 ndio kisha uweke talasimu yako juu ya mlango wako na kama wew machinga basi mwaga mwaga na maji kwenye vitu vyako kwa jujuu yani kisha talasimu itengeneze kama kiamuret or azima kuwa nayo unapo tumia pesa hii ni hatali sana kwa mvuto).

Kwa mafunzo tiba na ushauri Wa magonjwa Kwa tiba asili. Je unasumbuliwa na ndoa yako, biashara inaandamwa na chuma ulete, unasumbuliwa na wachawi kwenye mji wako? Husiteseke tena ingia hapa
https://chat.whatsapp.com/Jcn23l8qSNgJaoRk7uZMpB