Wednesday 11 December 2019

KUONDOA NUKS,MIKOSI,KIZA CHA MIAKA NA MIAKA,MVUTO WA BIASHARA NA NDOA

  Talasimu Hii 👆👆 kaz zake kama kichwa cha habali kinavyo sema kuwa dua Hii inafunga vifungo ,mikosi,mabalaa,na pia inaondosha maradhi ya amina yoyote Yale kwenye mwili or pahala Fulani .
Kama unaitaji mvuto basi chola talasimu Hii kwanza kisha tumia kuoga kwa mtindo wa kujipakaa kwa muda wa siku 7 kisha ndio utengeneze talasimu za mivuto wapo watu wanalalamika baadhi yao eti kwamba wametumia matalasimu yangu lakin hawakufanikiwa na wengine walio wengi alhamdulila wanaleta mrejesho kwa WhatsApp na kwenye call za kawaida wanapiga wanatuma SMS +255 745 59 50 89 ,
Hata kama wew ni tabibu jua wew kila siku unapigwa vita basi uwe mwingi wa kuoga madawa ya hapa na pale ya kujiagua na zohari maana ukimtoa nuks mgonjwa lazima zitabaki kwako chembe chembe je ukiwatibia zaidi ya 9 unazani kwenye mwili wako hujakuwa jalala sasa basi nyie musio fanikiwa na talasimu zangu fata nyiradi hizi kwanza unatakiwa uwandae talasimu hii kama nilivyo sema apo awali ....
     Chola talasimu hii kwa wino mwekundu wa zafarani kisha uwizungushie Surat Alan nashrah X3 unakomea panapo sema fainama al usil yusira.
    Kisha talasimu hiyo utaisomea Surat yasini X3 .matumizi ni kunywa na kuoga siku7,dua hii inatoa kila kitu kwenye mwili wako ambacho kichafu kuanzia jini mahaba mikuli visiki mahembe nuksi za kila rangi hii inaondoa ni mujarabu sana na maradhi yoyote Yale mwilini pia vile vile ukimaliza kuitumia hivyo iyandae tena kama apo awali kisha itundike kwenye biashara yako na kama wew unataka kuolewa Kuowa basi tumia kuoga kwa mtindo wa kujipakaa hakikisha usipakie sehemu chafu maana utapata madhara makubwa (chunga hili pindi unavyo jisafisha wew na usafishe na biashara yako kama 

 kwenye fremu basi angalia kumwaga mwaga kudekia kila siku X1 mpaka siku 7 ndio kisha uweke talasimu yako juu ya mlango wako na kama wew machinga basi mwaga mwaga na maji kwenye vitu vyako kwa jujuu yani kisha talasimu itengeneze kama kiamuret or azima kuwa nayo unapo tumia pesa hii ni hatali sana kwa mvuto).

Kwa mafunzo tiba na ushauri Wa magonjwa Kwa tiba asili. Je unasumbuliwa na ndoa yako, biashara inaandamwa na chuma ulete, unasumbuliwa na wachawi kwenye mji wako? Husiteseke tena ingia hapa
https://chat.whatsapp.com/Jcn23l8qSNgJaoRk7uZMpB

No comments:

Post a Comment