Saturday 6 July 2019

Asalaam aleykum wanagloup leo nawaletea dawa adimu na adhwimu bado nipo safalini nimekuja kuchimba madawa ya tiba huku nimekutana namtihuu unaitwa mdocteri nimti hatali ndomana nimeonelea niwaletee somohili. litwaalo maajabu ya. Mdocteri cjui niseme dhahabu au almasi mdocteri ni nidawa ilikuwa inatumika na waganga wa zamani wakongomani. na walundi pamoja na wa nigelia mtihuu waliutumia sana hasa katika mambo ya mazingaombwe mvuto na kufunguwa ndoto. Na kubashili mambo mbalimbali na kun'golea vitu vibaya vilivyofukiwa aldhini umeitwa mdokteri. Mtihuu. Pia unanguvusana kwaupande wanjozi loho wamtihuu au malaika wa mtihuu ndio wenyenguvu za kujuwa na kutambuwa kutabili kubashili ipasavyo mwenyezimungu kaumba mitiii lakini kusemakweli mtihuu kaupendeleasana mti huu kunabaadhi ya waganga wa zamani walikuwa wanauweka kwenye msinga ili kuweza kupata nguvu za kiloho za kutabilia. Na kupimia watu na kufanyia kazi mbalimbali nakumbuka babuyangu mzee kiboko og. alikuwa na msinga wake alikuwa anautuma popote unaenda na unaludi wenyewe bilatabu huo ndio uganga wa zamani bhana wenzetu walikuwa hawabaatishi sio ckuhizi watu wanaenda kuusomea uganga au wengine wamesoma madlasat kaifadhi duwaa mbilitatu bac nayeye mganga tena anatamba mkikolofishana kidogo utamsikia wewe unanijuwa vizulimimi waulizewenzio nawanakibuli yaani utadhani makhudam wooote duniani wapokwake namatapeli wamekuwa wengi adi wameufanya uganga umeshuka hadhi soote twaonekana wezi2 tunaendelea. Mdocteri hutumika pia kwenye maswaala ya kuondowa mapepo katika mwili wa mtu na hutumika katika maswaala ya kuvuta njozi maana uganga bila njozi wewe siomganga pia mdocteri pia hutumika katika kutengenezea chumaulete pia hutumika kutowa nux vifungo na kuongeza mvuto kwenye biashala ambapo utauchanganya mdocteri pamoja na mvumbasi dikulu utamwaga kwenye kazizako au biasharayako na kilakitu kitafunguka na kitaenda Sawa sawia pia unaweza kujitngenezea nguvu za ziada kupigia mtihuu pia unaweza kujijengea jicho la tatu ukawa na uwezo kuona vilivyo fichikana yaaan huumti nikiboko.

MITI TIBA


No comments:

Post a Comment