Thursday 9 August 2018

JINSI YA KUFICHA KIMVULI CHAKO

JINSI YA KUFICHA KIVULI CHAKO KISIONEKANE NA WACHAWI

kwa sababu wachawi wanapotaka kumloga mtu, huchukua na hushambulia kivuli chake. ( HAPA SIZUNGUMZII KIVULI CHA JUANI, NAZUNGUMZIA KIVULI CHAKO CHA KIROHO, YAANI NAFSI YAKO )Bila kuona kivuli chako, wachawi hawawezi kukuloga.

      Kinga hii hukupa uwezo wa kutokuonekana kwenye rada za wachawi. Kwao unakuwa ni sawa na mtu aliyekufa tu, kwa sababu mtu aliye kufa kivuli chake hakionekani na pia hawezi kurogwa na uchawi wa aina yoyote ile.

JINSI YA KUFICHA KIVULI CHAKO KISIONEKANE NA WACHAWI.
i.Chukua nywele za saluni

ii.Chukua mzizi wa mti ulio katisha njia

iii.Chukua tawi la mti unaitwa Ututukanga. Huu mti wa Ututukanga unapatikana porini na huwa linaonekana shina lake na matawi yake tu, lakini mzizi wake huwa hauonekani.

iv.Unachukua mti unaitwa Msonihya

v.Unasaga pamoja na mti unaitwa mwavi.

vi.Baada ya hapo unachukua kuku mweusi, unamfunga kwenye kitambaa cheusi bila kumchinja, unachukua chungu cheusi, unamuunguza mpaka anakuwa mkaa, halafu unamsaga pamoja na miti iliyo tajwa hapo juu, unachanganya na mafuta ya simba.

vii.Unachukua la ugali wa kilioni

viii.Kamba ya kitanda alicho lalia maiti, au kama maiti ipo kwenye nyumba ya nyasi, unachomoa nyasi wakati maiti imo ndani.

ix.Unachimba mzizi wa mti unaitwa mputika bila kivuli chako kugusa mti..

x.Unaunguza vyote kwa pamoja ukiwa na kaniki nyeusi bila kuvaa nguo yoyote usiku wa manane

xi.Unaipika njia panda pamoja na mafuta ya mbonokisha utachangaya na dawa za huko ju ulizochanganya na mafuta ya simba.Baada ya hapo, mtu atachanjiwa na kuongeshwa pamoja na kufanyiwa tambiko maalumu.Basi wachawi watakuwa wakijaribu kutaka kukutupia uchawi, wanakuwa hawakuoni kwenye rada zao za kichawi.

Kwa Maelezo zaidi wasiliana Na Dr Mambikhi

No comments:

Post a Comment