Saturday 20 October 2018

IJUE NYOTA YAKO

IJUE NYOTAYAKO

NYOTA

JINSI YA KUFAHAMU NYOTA YAKO CHUKUA JINA LA BABA YAKO CHUKUA JINA LAKO  NA LA MAMA GAWANYA  KWA KUMI NA MBILI.

1.           IKIBAKI MOJA NI PUNDA.

2.           IKIBAKI MBILI NI NG,OMBE.

3.           IKIBAKI TATU NI MAPACHA.

4.           IKIBAKI NNE NI KAA.

5.           IKIBAKI TANO NI SIMBA.

6.           IKIBAKI SITA NI MASHUKE .

7.           IKIBAKI SABA NI MIZANI .

8.           IKIBAKI NANE NI NGE.

9.           IKIBAKI TISA NI MSHALE.

10.      IKIBAKI KUMI NI MBUZI.

11.      IKIBAKI KUMI NA  MOJA NI NDOO.

12.      IKIBAKI KUMI NA MBILI NI SAMAKI.

NA PIA KUNA NYOTA ZA AINA NNE AMBAZO NDIZO NYOTA ZA ASILI NA UKITAKA KUZIJUA NYOTA HIZO UNACHUKUA JINA LAKO LA BABA NA LA MAMA UNAGAWANYA KWA NNE

1.           IKIBAKI MOJA NI  MOTO .

2.           IKIBAKI MBILI NI UDONGO.

3.           IKIBAKI TATU NI UPEPO.

4.           IKIBAKI NNE NI MAJI.

NYOTA HIZI NDIZONYOTA ZA ASILI AMBAZO INATAKIWA TUZIFAHAMU MFANO MTU MWENYE NYOTA YA MOTO HATAKIWI KUFANYA KAZI ZA MTU MWENYE NYOTA YA MAJI MAANA NYOTA YAKE ITAZIMIKA.

MWENYE NYOTA YA MOTO KAZI ZAKE NI UDREVA,UASKARI,UMACHINGA,HOTELI,, BIASHARA, ZINAZOHUSIKANA NA KUSAFIRI SAFIRI AU SALUNI MAANA SALUNI MOTO UNATUMIA UMEME ,FUNDI WELDING,NA KAZI ZINAZOHUSU UPEPO MAANA MOTO NA UPEPO ZIKO PAMOJA.

NA PIA NYOTA YA MAJI NA UDONGO ZINAFANYA KAZI MOJA.KAZI ZAO NI UVUVI,KULIMA ,UFUGAJI,KUCHIMBA MADINI, FUNDI WASH,FUNDI UJENZI.N.K.

MTU MWENYE NYOTA YA MOTO INATAKIWA AOLEWE NA MTU MWENYE NYOTA YA UPEPO.

NA MTU MWENYE NYOTA YA MAJI INATAKIWA AOANE NA NA MTU MWENYE NYOTA YA UDONGO.

WATU WENGI NDOA ZAO HUHARIBIKA MAANA HAWAFATI MAMBO HAYA .KUJUA  NYOTA NI MUHIMU SANA NA HATA KIBIASHARA INATAKIWA TUJUE NI HERUFI GANI ZA KUANDIKA KATIKA BIASHARA AU KATIKA MADUKA YETU.

`

PIA KUNA KUZIJUA NYOTA KWA KUTUMIA HERUFI MFANO MWENYE HERUFI INAYOANZA NA   A,=PUNDA. B=NG,OMBE.   C=MAPACHA.    D= KAA.   E= SIMBA.     F=MASHUKE.   G=MIZANI .  H=NGE.      I=MSHALE.   J==MBUZI.  K= NDOO.  L=SAMAKI.  M=PUNDA. N=NG,OMBE.  O=MAPACHA. P=KAA.   Q=SIMBA.  R=MASHUKE.   S=MIZANI.     T=NGE.  U=SAMAKI.   V=MBUZI.    W=NDOO.  X=SAMAKI.    Y=PUNDA.   Z=NG,OMBE..NA HIZO NI KUZIJUA NYOTA KWA KUTUMIA HERUFI YA MWANZO WA JINA LAKO.

PIA KUNA KUZIJUA NYOTA KWA KUZALIWA  KUTOKANA NA MWEZI ULIOZALIWA MFANO.

TAREHE 19   MWEZI  WA   1   HADI  TAREHE   20  MWEZI    WA    2  NI  NDOO.

TAREHE 21   MWEZI  WA   2   HADI  TAREHE   20  MWEZI    WA      3  N I  SAMAKI.

TAREHE 21   MWEZI   WA    3   HADI  TAREHE   20  MWEZI   WA     4   NI   PUNDA.

TAREHE 21   MWEZI  WA   4    HADI   TAREHE   20    MWEZI  WA     5     NI NG,OMBE.

TAREHE 21 MWEZI  WA    5       HADI   TAREHE  20   MWEZ I WA     6    NI MAPACHA.

TAREHE 21 MWEZI WA    6        HADI  TAREHE   20     MWEZI  WA    7    NI KAA.

TAREHE 21 MWEZI WA    7       HADI   TAREHE    21       MWEZI  WA  8     NI  SIMBA.

TAREHE 22 MWEZI WA   8       HADI   TAREHE     22 MWEZI      WA      9        NI  MASHUKE.

TAREHE 23  MWEZI WA 9      HADI     TAREHE       22 MWEZI    WA     10    NI  MIZANI.

TAREHE 23 MWEZI WA 10     HADI     TAREHE    21 MWEZI     WA       11    NI     NGE.

TAREHE 22 MWEZI WA 11 HADI TAREHE 21 MWEZI   WA  12  NI   MSHALE.

TAREHE 21 MWEZI WA 12 HADI TAREHE 18 MWEZI WA  KWANZA  NI MBUZI.

HIZO NDIZO  NYOTA KWA NJIA YA TAREHE .

PIA NYOTA HIZI ZIKO KATIKA MAGURUDUMU KAMA NILIYOYATAJA HAPO NYUMA MFANO.

1.           NDOO=     MOTO

2.           PUNDA = MOTO.

3.           NG,OMBE =UDONGO

4.           MAPACHA = UPEPO.

5.           KAA=MAJI.

6.           SIMBA=MOTO.

7.           MASHUKE= UDONGO.

8.           MIZANI =UPEPO.

9.           NGE=MOTO.

10.      MSHALE=MOTO.

11.      MBUZI =UDONGO.

12.      SAMAKI = MAJI.
Kwa mawasiliano +255 745 59 50 89

Wednesday 22 August 2018

NUKSI NI NINI


#-NUKSI-Ni neno la kiarabu ambalo lina maana ya machafuko ,maangamiko,maharibiko. Ambalo kwa kiswahili tuna liita neno hili ni mkosi ambayo ndio maana halisi na sambamba ya msamiati huo.

#NUKSI- ni hali inayo mkumba mtu na kumfanya kuwa na dhiki na ugumu katika kuyaendeka mambo yake na kupata kile anacho kihitaji kwa nafasi yake.

#Tunapo zungu mzia nuksi tuna zungumzia ujumla wa muambatano na visababisha vya ukwamaji wa mambo kwa watu mbali mbali.


#Nuksi kwa ujumla wake zimegawanyika katika aina nyingi ambazo kila moja na sababu zake ambazo hupelekea mtu kuingia katika matatizo kwa uzito wa nuksi yake.
    
   VISABABISHI VYA NUKSI/MKOSI.

A)-#Kukumbwa na kafara za watu manjiani.

B)-#Nuksi ya kuambukizwa na mke/mume.

C)-#Nuksi ya kuletwa na majini.


D)-#Nuksi ya masononeko ya wazazi.

E)-#Nuksi ya kufungwa na asili ya ukoo wa mtu.

F)-#Nuksi ya laana za wazazi/kiapo.

G)-#Nuksi ya kufanyiwa uchawi.

Vyote hivi ni baadhi ya miongoni mwa vitu ambavyo huweza kusabaisha nuksi/mkosi kwa binaadamu.

#Watu wengi wamekuwa wakisumbuka na Mikosi/nuksi pasi na kujua pia ni Nuksi gani inayo wasumbua.

Hapa leo tunazunhumzia aina  moja ya nuksi/mkosi.

1-#Nuksi ya kuikumba -hii ni nuksi ambayo mtu anaikumba yaani hakukusudiwa kufanyiwa kitu kibaya na wachawi wala adui wake.

Hii hutokea pale mtu anapo pita sehemu ambayo kuna watu walifanya kafara ya kutoa nuksi ama kujifungua kutokana na matatizo aliyo nayo.

Endapo mtu atakatiza katika eneo hilo akiwa ni wa mwanzo ni tangu kafara hiyo kufanyika basi mtu huyo ana weza kuipata niksi hiyo.

Nuksi hiyo ambayo huanza kujitokeza matokeza kwake kuanzia siku moja kwa ukamilifu wake ama siku ya nane yake tangu kumkumba nuksi hiyo.

#Mtu huyo anaweza pia kuanza na kupata homa kama kafara hiyo ilikuwa kubwa na hato pata homa endapo kafara hiyo haiku chinjiwa mnyama wala hakikuchomwa kitu miongoni mwaka vitu vya kafara hiyo.

DALILI ZA MTU MWENYE NUKSI/MKOSI.

1-#kuchukiwa kwa sababu za kawaida zisizo na maana.

2-#kukwama mambo yote ghafla.

3-#kushindwa kujisaidia mwenyewe.

4-#kujihisi una mapungufu wewe Mwenyewe na kujiona kama una kasoro.

5-#kuachwa na mpenzi ghafla.

6-#kusimamishwa kazi pasi na sababu ilio nyooka.

7-#kufa kwa mawasiliano na watu wako wa karibu.

8-#watu kuku sahau kwenye mahala pa kufanya kipato.

9-#kukosa msaada kwa mwenye uwezo wa kukusaidia.

Kwa Tiba na ushauri
+255 745 59 50 89
Website : sales@drmambikhi.com
E mail: mambikhitibaasilia@gmail.com

Monday 20 August 2018

DAWA YA KUSAFISHA NYOTA YAKO NA MVUTO

 

Dawa ya kusafisha

Habari za leo

Chukua mjafari wa unga

Hina ya unga

Magadi ya kupikia mlenda

Machicha ya Nazi yasiyokamuliwa(kuna Nazi kisha changanya na Dawa hizo)

Kisha kamulia ndimu mpaka uone Dawa yako imekuwa uji uji au unaweza usitumie ndimu chukua marashi rose korogea mpaka uone Dawa imekuwa ujiuji

Dawa hii inatumika usku tu

Chukua kitambaa cheupe

Kitandike chini ilihali upo uchi

Chukua Dawa yako jisugue na ile Dawa kama unajiscrub jisugue mwili mzima uchafu ule uangukie pale kwenye kitambaa

Ukimaliza uchafu ukusanye vizuri kisha chukua unga wa sembe changanya na ule uchafu kawatupie kuku wale(lengo LA kuku kula ni Ili usije kuokotwa maana ukiokotwa uchafu huo unaweza kutumika vibaya na wewe ukaugua sana au kufa kabisa

Utafanya zoezi hili kwa muda wa wiki nzima utaona ajabu utakumbukwa na walokusahau utathaminiwa utaonekana utavutia na utapendwa(kama unajini mchafu itakuwa kinyume chake)

Mjafari unapatikana maduka ya Dawa za asili ni mchungu una rangi kama njano iliyokolea kuelekea kahawia

Nazi inapatikana magengeni au sokoni

Unga sembe madukani

Kitambaa kwa fundi cherehani

Kuku wapo mitaani

Magadi madukani

Imebidi niandike hivyo maana kuna mtu ataniuliza nazi ndo nini? Inapatikana wapi? Kuku wasipokula je?

Kuku wasipokula adui yako ataviokota na kwenda kuvifanyia kazi zingine.

wasiliana nami kwa tiba na ushauri

+255 745 59 50 89

Thursday 9 August 2018

JINSI YA KUFICHA KIMVULI CHAKO

JINSI YA KUFICHA KIVULI CHAKO KISIONEKANE NA WACHAWI

kwa sababu wachawi wanapotaka kumloga mtu, huchukua na hushambulia kivuli chake. ( HAPA SIZUNGUMZII KIVULI CHA JUANI, NAZUNGUMZIA KIVULI CHAKO CHA KIROHO, YAANI NAFSI YAKO )Bila kuona kivuli chako, wachawi hawawezi kukuloga.

      Kinga hii hukupa uwezo wa kutokuonekana kwenye rada za wachawi. Kwao unakuwa ni sawa na mtu aliyekufa tu, kwa sababu mtu aliye kufa kivuli chake hakionekani na pia hawezi kurogwa na uchawi wa aina yoyote ile.

JINSI YA KUFICHA KIVULI CHAKO KISIONEKANE NA WACHAWI.
i.Chukua nywele za saluni

ii.Chukua mzizi wa mti ulio katisha njia

iii.Chukua tawi la mti unaitwa Ututukanga. Huu mti wa Ututukanga unapatikana porini na huwa linaonekana shina lake na matawi yake tu, lakini mzizi wake huwa hauonekani.

iv.Unachukua mti unaitwa Msonihya

v.Unasaga pamoja na mti unaitwa mwavi.

vi.Baada ya hapo unachukua kuku mweusi, unamfunga kwenye kitambaa cheusi bila kumchinja, unachukua chungu cheusi, unamuunguza mpaka anakuwa mkaa, halafu unamsaga pamoja na miti iliyo tajwa hapo juu, unachanganya na mafuta ya simba.

vii.Unachukua la ugali wa kilioni

viii.Kamba ya kitanda alicho lalia maiti, au kama maiti ipo kwenye nyumba ya nyasi, unachomoa nyasi wakati maiti imo ndani.

ix.Unachimba mzizi wa mti unaitwa mputika bila kivuli chako kugusa mti..

x.Unaunguza vyote kwa pamoja ukiwa na kaniki nyeusi bila kuvaa nguo yoyote usiku wa manane

xi.Unaipika njia panda pamoja na mafuta ya mbonokisha utachangaya na dawa za huko ju ulizochanganya na mafuta ya simba.Baada ya hapo, mtu atachanjiwa na kuongeshwa pamoja na kufanyiwa tambiko maalumu.Basi wachawi watakuwa wakijaribu kutaka kukutupia uchawi, wanakuwa hawakuoni kwenye rada zao za kichawi.

Kwa Maelezo zaidi wasiliana Na Dr Mambikhi

Monday 6 August 2018

NYOTA

UTABIRI WA LEO JUMATATU

Punda(21 march-20 april)

Siku ya leo tegemea kukwaruzana na mtu kwa vitu vidogo visivyo vya msingi hali hii imeanza usiku wa jana na itaendelea hadi leo usiku, Kuwa huru na ujiamini kwa kila ufanyalo kikubwa usivuke mipaka katika kujiamini.

Ng'ombe(21 april-21 may)

Siku ya leo mambo yako yataanza kukufungukia na kutimia leo tegemea habari njema kutoka usipopatarajia pia utakumbukwa na marafiki waliokusahau na mahusiano yatazidi kuwa vizuri pia kuna dalili ya safari nenda safari yakk ina kheri.

Mapacha(22 may-21 may)

Siku ya leo kuwa makini na safari uliyoipanga utaudhiwa na kukerwa pia watu hawatothamini muda wako fanya mawasiliano kabla ya kutoka, Pia kuna fitna inayofanywa ili ugombane na mwenzako jihadhari na ujiimarishe zaidi usijisahau kiibada.

Kaa(22 june-22 july)

Leo ni siku nzuri kwaako maradhi yatakwisha unaonekana kusumbuliwa san na tumbo hali hiyo itaisha, pia tegemea kupata mazuri uendapo na kuna dalili za kuahidiwa kitu kikubwa na kitu hicho kitatimia.

Simba(23 july-21 august)

Leo ni bora kutulia nyumbani kuna mtu amepanga njama mbaya juu yako, mtu huyu ni rafiki wa mtu wako wa karibu jihadhari na jambo na ununue kibiriti upele nuia kisitokee chochote jivu litakalotoka hapo lifunge na ulitupe chooni.

Mashuke(22 august-22 september)

Afya yako itaenda vizuri kama una mgonjwa basi hali yake itabadilika na kuwa nzuri, pia tegemea kupata matumaini makubwa katika shughuli yako uliyoipanga au jambo unalolifuatilia.

Mizani(23 september-21 october)

Leo utapata ugumu kipesa watafute wote unaowadai jitahidi kuwakumbusha, siku ya leo kuwa mpole zaidi.

Ng'e(22 october-21 november)

Jitahidi kuwa makini na ulaji na unywaji wako unaweza kusumbuliwa na mafua homa homa hali hii ni ya mpito tu pia migogoro uliyo nayo itafikia ukomo.

Mshale(22 november-21 december)

Leo utadanganywa au kuongopewa kitu na utaujua ukweli baadae, pia kuwa makini leo sio siku nzuri kimahusiano kwako .

Mbuzi(22 dec-19 january)

Leo usijihusishe na mkutano  au mikusanyiko ya watu wengi, na ikiwa kuna kikao hudhuria ila usiwe muongeaji utapingwa na kupuuzwa siku ya leo haifai kwako kwa kuomba msaada hutasaidiwa ils kwa shida shida.

Ndoo(20 january-18 february)

Tegemea kupokea habari njema siku ya leo kuna kitu utajifunza na kuna vitu vitakufurahisha.

Samaki(19 february-20 march)

Utapoteza kitu muhimu jitahidi kurudi nyumbani mapema siku ya leo pia toa sadaka kuondoa uzito katika mambo yako, Pia kuwa mkali katika mali zako haswa kwa wanaozitumia vibaya.

Usikose kuuliza swali na kufuatilia jibu la swali lako hapa

Kwa maswali ya siri utanipigia simu
+255 745 59 50 89

Sunday 5 August 2018

NYOTA YAKO LEO JUMAPILI

PUNDA

Tegemea kupokea habari njema na mambo ya kukufurahisha pia kuna mtu mliepotezana muda mrefu atakutafuta au mtakutana pia jiepushe na uongo siku ya leo sio mzuri kwa kudanganya unaweza kuumbuka.

NG'OMBE

Leo utapata ugeni mkubwa na kuna watu watakutembelea,pia tegemea kujifunza jambo, huu ni msimu mzuri kwako kimahusiana na mahusiano ila sio wakati mzuri kipesa na kiuchumi ni wakati mgumu kwako waone wataalam  kujua tatizo lilipo.

MAPACHA

Safari zako zina kheri kubwa jitahidi uende, pia kuwa muangalifu na mambo yako unayoyafanya kuna watu wanakufuatilia ili kukuvurugia mipango yako ni vyema kuzingatia kuwahi kurudi nyumbani leo kwani jioni sio muda mzuri kwako.

KAA

Kuwa makini na mali zako unaweza kuibiwa au kupoteza kitu muhimu, pia tegemea faraja kwa mtu unaeenda kukutana nae leo au kesho pia kuwa huru na mambo yako.

SIMBA

Mambo yako unayoyafuatilia yatatimia bila shaka yoyote ugumu ulioupata mwanzo usikufanye ukwame juu ya kile unachokifuatilia ongeza juhudi utafanikiwa ila tabia yako ya kutumia nguvu au hasira ili kutimiza haja yako itakukwamisha jitahidi kubadilika.

MASHUKE

Mambo yako leo yatakuwa magumu na jitahidi kumtanguliza mungu ikiwa una safari au jambo lolote unalifuatilia kutakuwa na uzito pia leo usiingie mkataba au makubaliano yoyote utasalitiwa.

MIZANI

Afya yako au ya mgonjwa wako itakuwa vizuri na utapata matumaini pongezi na shukran kwa kile ulichokifanya, siku ya leo jielezee shida yako kwa mtu atakusaidia.

NG'E

Maswala ya kipesa sio mazuri kwako siku ya leo kutakuwa na uzito juu ya unachokifuatilia, Pia jihadhari na maamuzi yako yanaweza kukutia hasarani.

MSHALE

Uliyegombana nae atakutafuta leo au ndani ya wiki hii na ugomvi utaisha au utatoweka Pia tumia muda ulionao kuyafuta.

MBUZI

Leo mambo yako ya kimahusiano yataenda vizuri pia utapokea lawama zisizo na mantiki Ikiwa una safari yoyote basi itimize usiiahirishe utapoteza vitu muhimu kwako.

NDOO

Migogoro kazini au katika ndoa yako itazidi kuwepo jitahidi kupunguza marafiki pia usiamini sana unachoambiwa amini unachokiona pia kuna jambo kubwa na zuri atakalolifanya mwenzako tegemea faraja.

SAMAKI

Mambo yako ya safari ulizozipanga yatatimia na kwenda vizuri pia kuna jambo baya analolifanya rafiki yako kama unavyomuotea ni kweli sio mtu mzuri sana kwako fuatilia na uchukue maamuzi.

Usikose masomo ya utabiri kila siku hapa kwenye website yetu asiye jua nyota yake atoe tarehe ya kuzaliwa

Asiye na tarehe ya kuzaliwa atachangia sh.5000/= na utapatiwa maelekezo.

Maalim Mambikhi
+255 745 59 50 89

MASHONA NGUO

           Je husalimiwi? Hupigiwi simu? Umesahaulika na ndugu jamaa rafiki wapenzi unaowategemea?

Basi chukua mashona nguo majani yake chemsha pamoja na chumvi ya mawe tumia kuogea dawa hii kutwa x2 siku 4 tu utaona ajabu yake,

Dawa zilizo tayari za kuvuta mtu kuongeza mapenzi mvuto kumtuliza mume au mke zipo tele ofisini

Karibuni

Ikumbukwe tu unapotumia dawa ya kumtuliza mtu asiruke ruke kama mume basi ujue hawezi kuvutwa na mtu yiyote wala hawezi kupeperushwa

Kinachofanyika ili mume apeperuke huchukuliwa mbegu zake njiwa mweusi hufanyiwa laana fulani kisha hulishwa zile mbegu hufanyiwa kafara nyingine kisha hurushwa baada ya kutobolewa macho yote(mungu atuepushe na huu ushirikina) kisha hurushwa hapo mumeo hatoona lolote zaidi ya mchepuko wake hatosikia lolote zaidi ya mchepuko wake je? Umeshaathirika kwa hili? Mumeo hakusikilizi hakutii kama zamani? Hatoi matumizi ndani ila nje anatoa? Hakujali kwa lolote? Basi usisite kuwasiliana nasi

Kwa mawasiliano zaidi

+255 745 59 50 89
Maalim Mambikhi

Saturday 4 August 2018

DR. MAMBIKHI

Kutana na Mtaalam wa Matabibu ya nyota za Binadam na Bingwa wa Tiba za Asili Afrika Mashariki. Tiba Asilia Je Wewe ni Mwanasiasi, Mfanyabiashara , Msani, ama mwanafunzi tunazo dawa na pete za bahati zenye uwezo mkubwa wakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu. Kutana na MAALIM MAMBIKHI kutoka Handeni Tanga, Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki. Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sasa amezianza ziyara zake za mikoani na atayatembeleye maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi. Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nasiojulikana kwakutumia maji, Kioo na mitishamba. Anazo dawa za mapenzi, kumrudisha alipoteya, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu , Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, Kuuza kwa haraka ( shamba, nyumba, Gari,...), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na utajiri bila masharti na mengine mengi ya Siri... Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa nambari ya simu
+255 745 59 50 89

TALASIMU YA BIASHARA

HABARI
Talasimu hii ndugu zangu nitalasimu moja mzuri sana kwa ajili ya biashara kazi pia ni kinga zidi ya wachawi na  majini wabaya
Talasimu hii endapo kuna mtu anakufanyia ubaya na ukalala nayo basi mtu huyo utamuona na hatofanikiwa kukufika 
Talasimu hii endapo utaenda safari na uko nayo basi safari hiyo kama sio mzuri kuna hali flani ambazo zitakutokea na kama unatembea kwa miguu basi utajikwaa zaidi ya x 2 na hali flani ambazo zitakutokea
Talasimu hii ni mzuri kwa akina mama wajawazito kwa ajili ya husda vijicho na wachawi kwa anaye hitaji wasiliana na Dr. Mambikhi kwa
0745595089

PETE YA MVUTO

     Ndugu yangu
     Unawezajikuta unapoteza vitu zako ovyo,pesa kutumika vibaya,kutooa au kuolewa,nuksi kwenye mambo zako,kupoteza heshima au cheo chako na hata kutokua na bahati ya mafanikio kwa kutokamilisha ununuaji wa pete hii.
       Pete ni muhimu sana kwa wenye matatizo hayo niliyoyasema Hapo juu yanayoitaji pete kutokana na mafanikio yao,biashara,kazi na hata mapenzi unaweza ukawa hutakiwi au hupendezi kwa watu ili hali mungu kakujalia uzuri wako lakini kukosa mume au mke wakupendana nae
      Tafakari hilo la pete vizuri sana baada ya kusoma kisha ujuulize maswali mwenyewe pengine ulishawai ambiwa na mwalimu ununue pete ukasahau au pengine ulioteshwa lakini ukapuuzia
                               Asanteni
Wasiliana Na Dr mambikhi Kwa simu no
+255 745 59 50 89